daily menu » rate the banner | guess the city | one on one

Go Back   SkyscraperCity > Continental Forums > Africa > East Africa > Tanzania > Swahili Lounge


Reply

 
Thread Tools Display Modes
Old December 11th, 2012, 07:37 PM   #261
Rain Drops
Tanzanian Rain
 
Rain Drops's Avatar
 
Join Date: Oct 2012
Location: I wouldn't mind living in Seychelles or Hawaii.
Posts: 3,099
Likes (Received): 704

eeh nani anarudi bongo xmas hii na mwaka mpya?

tunahitaji watu ambao wapo bongo watuletee updates na projects mpya kwa sana aisee.
__________________
Back to Black. :(

Last edited by Rain Drops; December 11th, 2012 at 09:14 PM.
Rain Drops no está en línea   Reply With Quote

Sponsored Links
 
Old December 11th, 2012, 09:15 PM   #262
kiligoland
Registered User
 
kiligoland's Avatar
 
Join Date: Jan 2010
Location: Shanghai
Posts: 6,002
Likes (Received): 637

Quote:
Originally Posted by Rain Drops View Post
eeh nani anarudi bongo xmas hii na mwaka mpya?
Da! Mi nina hamu ya kurudi bongo ila uchumi umeniporomokea ile mbaya
kiligoland no está en línea   Reply With Quote
Old December 11th, 2012, 09:18 PM   #263
kiligoland
Registered User
 
kiligoland's Avatar
 
Join Date: Jan 2010
Location: Shanghai
Posts: 6,002
Likes (Received): 637

Quote:
Originally Posted by Rain Drops View Post
eeh nani anarudi bongo xmas hii na mwaka mpya?

tunahitaji watu ambao wapo bongo watuletee updates na projects mpya kwa sana aisee.
Yule dogo mwenye blog safi sana, tukimshawishi atakua analeta vitu vya kufa mtu humu
kiligoland no está en línea   Reply With Quote
Old December 11th, 2012, 09:19 PM   #264
Rain Drops
Tanzanian Rain
 
Rain Drops's Avatar
 
Join Date: Oct 2012
Location: I wouldn't mind living in Seychelles or Hawaii.
Posts: 3,099
Likes (Received): 704

Quote:
Originally Posted by kiligoland View Post
Da! Mi nina hamu ya kurudi bongo ila uchumi umeniporomokea ile mbaya
hahha pole ndugu, mimi sirudi maana nina mitihani mwezi wa kwanza kwenye tarehe 10 hivi..yaani wabongo siku hizi hatuna updates za majengo mapya kabisa na ukitafuta net hauambulii chochote..wale watu wa JF si wajiunge huku pia tuwashawishi watulekee ma projects mapya..
__________________
Back to Black. :(
Rain Drops no está en línea   Reply With Quote
Old December 11th, 2012, 09:30 PM   #265
kiligoland
Registered User
 
kiligoland's Avatar
 
Join Date: Jan 2010
Location: Shanghai
Posts: 6,002
Likes (Received): 637

Quote:
Originally Posted by Rain Drops View Post
hahha pole ndugu, mimi sirudi maana nina mitihani mwezi wa kwanza kwenye tarehe 10 hivi..yaani wabongo siku hizi hatuna updates za majengo mapya kabisa na ukitafuta net hauambulii chochote..wale watu wa JF si wajiunge huku pia tuwashawishi watulekee ma projects mapya..
JF labda siasa na porojo zingine, hawana mpango na projects /threads zinazohusu imendeleo bongo, ukiona thread za aina hizo ni zimeanzishwa na member wa humu na unakuta watu wengi wanaponda
kiligoland no está en línea   Reply With Quote
Old December 11th, 2012, 09:34 PM   #266
Rain Drops
Tanzanian Rain
 
Rain Drops's Avatar
 
Join Date: Oct 2012
Location: I wouldn't mind living in Seychelles or Hawaii.
Posts: 3,099
Likes (Received): 704

Quote:
Originally Posted by kiligoland View Post
JF labda siasa na porojo zingine, hawana mpango na projects /threads zinazohusu imendeleo bongo, ukiona thread za aina hizo ni zimeanzishwa na member wa humu na unakuta watu wengi wanaponda

hahaha kweli kabisa..niliicheki JF nikaanza kucheka kichizi, ama kweli wabongo maneno mengi khaa..yaani mtu anafunguka jinsi anavyochukia siasa hadi unaanza kucheka mwenyewe..
__________________
Back to Black. :(
Rain Drops no está en línea   Reply With Quote
Old December 14th, 2012, 06:15 AM   #267
KoloneL
Mfalme Kolonel
 
KoloneL's Avatar
 
Join Date: Nov 2012
Location: Wadiya
Posts: 1,251
Likes (Received): 92

Kiswahili ya tanzania iko nguvu kusoma!
__________________
They say the streets is a demon in a dress, with dollar signs in her eyes and semen on her breath.

I'm just trying to do the opposite of left, as long as there's the opposite of death, ya know/Yes, ya test and I just might bring the opposite of life, til' there's no one the opposite of right.
KoloneL está en línea ahora   Reply With Quote
Old December 14th, 2012, 07:02 AM   #268
kiligoland
Registered User
 
kiligoland's Avatar
 
Join Date: Jan 2010
Location: Shanghai
Posts: 6,002
Likes (Received): 637

Quote:
Originally Posted by KoloneL View Post
Kiswahili ya tanzania iko nguvu kusoma!
kiligoland no está en línea   Reply With Quote
Old December 14th, 2012, 03:56 PM   #269
chamoto
سلم
 
chamoto's Avatar
 
Join Date: Dec 2010
Posts: 427
Likes (Received): 18

Quote:
Originally Posted by Rain Drops View Post
hahaha kweli kabisa..niliicheki JF nikaanza kucheka kichizi, ama kweli wabongo maneno mengi khaa..yaani mtu anafunguka jinsi anavyochukia siasa hadi unaanza kucheka mwenyewe..
Unajua wengi bongo wamekata tamaa, mtu amemaliza shule na hana mchongo wa kazi yeye anachokiona bongo ni ufisadi, wizi, upendeleo n.k kwahiyo hawezi kuona maendeleo yoyote.

kwa walio nje wengi wana miss nyumbani kwahiyo mabadiliko kidogo wanayoyaona kwao ni maendeleo kulinganisha na walipoondoka. Wengi wanakuwa na uzalendo kwasababu wanajua nini maana ya kuwa nchini kwako. Pia unapokuwa nje mambo ya ufisadi, kupendeleana, rushwa na kujuana unayasikia kwenye mitandao tuu wakati wenzako wanayaona kila siku.
__________________

Mimi na wewe
chamoto no está en línea   Reply With Quote
Old December 14th, 2012, 07:14 PM   #270
Rain Drops
Tanzanian Rain
 
Rain Drops's Avatar
 
Join Date: Oct 2012
Location: I wouldn't mind living in Seychelles or Hawaii.
Posts: 3,099
Likes (Received): 704

Quote:
Originally Posted by chamoto View Post
Unajua wengi bongo wamekata tamaa, mtu amemaliza shule na hana mchongo wa kazi yeye anachokiona bongo ni ufisadi, wizi, upendeleo n.k kwahiyo hawezi kuona maendeleo yoyote.

kwa walio nje wengi wana miss nyumbani kwahiyo mabadiliko kidogo wanayoyaona kwao ni maendeleo kulinganisha na walipoondoka. Wengi wanakuwa na uzalendo kwasababu wanajua nini maana ya kuwa nchini kwako. Pia unapokuwa nje mambo ya ufisadi, kupendeleana, rushwa na kujuana unayasikia kwenye mitandao tuu wakati wenzako wanayaona kila siku.
Mimi naona siasa za bongo saa nyingine hazina maana..wanabaki kubishana mchana na usiku kutwa, mwaka mzima na shughuli ambayo hufanywa ni kidogo sana..Ufisadi umekithiri, tutafikia hatua kuwa kutakuwa na watu ambao kitu kidogo tu kinawaudhi na wanaingia mitaani kudai chao kwa nguvu..mimi ningependa toa maoni kuwa ambao hawana kazi mjini waende kijijini wakalime..wapewe mashamba walime, wale, wauze..

Kila mtu anayemaliza chuo kitu cha kwanza anafikiria ni kwenda Dar kutafuta kazi, sasa hizo kazi kaitwa au anaenda kwa mswalie mtume tu? wengine inabidi wamalize UDOM waende Singida, Tabora si wote waje Dar.

Nikiendaga bongo wala nakaaga kijijini kwa miezi miwili na naona barabara mpya, zahanati lakini naona hali duni ile ile..bora kwetu kule kuna vyakula vingi hadi wanamwaga, lakini umeongea kwa ufasaha kabisa..bongo watu siku hizi hawana imani tena..wamekata tamaa.
__________________
Back to Black. :(

Last edited by Rain Drops; December 14th, 2012 at 07:36 PM.
Rain Drops no está en línea   Reply With Quote
Old December 14th, 2012, 08:23 PM   #271
chamoto
سلم
 
chamoto's Avatar
 
Join Date: Dec 2010
Posts: 427
Likes (Received): 18

Quote:
Originally Posted by Rain Drops View Post
Kila mtu anayemaliza chuo kitu cha kwanza anafikiria ni kwenda Dar kutafuta kazi, sasa hizo kazi kaitwa au anaenda kwa mswalie mtume tu? wengine inabidi wamalize UDOM waende Singida, Tabora si wote waje Dar.
Mambo ya kutafuta kazi mikoani/vijijini/wilayani yaliwezekana zamani kwasababu mfumo ulikuwa mzuri, mfano, tulikuwa na viwanda kila mkoa iwe kiwanda cha pamba, kubangua korosho au hata kusindika nyama. Wakulima waliweza kuuza mazao nchini kwasababu tulikuwa na viwanda.Mfumo wa elimu pia ulijengwa kukidhi mahitaji hayo ndo maana tulikuwa na vyuo vingi vya ufundi huku tukiwa na vyuo vikuu viwili tuu, kuhakikisha tunapata nguvukazi yakutosha na wana-akademia wachache kuleta mawazo mapya.

Lakini wajanja walipokuja kubinafsisha secta za umma wakaharibu mfumo mzima wa uendeshaji nchini kitu ambacho kiliondoa uwiano wa ajira. Wakulima wa pamba kwa mfano, wakakosa pa kuuza malighafi zao kwasababu hakukuwa na viwanda vya nguo. Vijana wakawa wanakimbilia Dar kutafuta bahati yao. Sijui una umri gani lakini nakumbuka nikiwa mdogo nilivaa sana viatu vya bora, suruali zangu za pamba ya Tanzania zilikuwa za kushonesha, nyama za kusaga pamoja na juice zake tamu zilikuwa zinatoka Tanganyika parkers (made in Tanzania). Hizi zote zilikuwa ni ajira za watu ambao hawakuwa na ulazima wa kukimbilia Dar ili wapate kazi.
__________________

Mimi na wewe
chamoto no está en línea   Reply With Quote
Old December 14th, 2012, 08:42 PM   #272
Rain Drops
Tanzanian Rain
 
Rain Drops's Avatar
 
Join Date: Oct 2012
Location: I wouldn't mind living in Seychelles or Hawaii.
Posts: 3,099
Likes (Received): 704

Quote:
Originally Posted by chamoto View Post
Mambo ya kutafuta kazi mikoani/vijijini/wilayani yaliwezekana zamani kwasababu mfumo ulikuwa mzuri, mfano, tulikuwa na viwanda kila mkoa iwe kiwanda cha pamba, kubangua korosho au hata kusindika nyama. Wakulima waliweza kuuza mazao nchini kwasababu tulikuwa na viwanda.Mfumo wa elimu pia ulijengwa kukidhi mahitaji hayo ndo maana tulikuwa na vyuo vingi vya ufundi huku tukiwa na vyuo vikuu viwili tuu, kuhakikisha tunapata nguvukazi yakutosha na wana-akademia wachache kuleta mawazo mapya.

Lakini wajanja walipokuja kubinafsisha secta za umma wakaharibu mfumo mzima wa uendeshaji nchini kitu ambacho kiliondoa uwiano wa ajira. Wakulima wa pamba kwa mfano, wakakosa pa kuuza malighafi zao kwasababu hakukuwa na viwanda vya nguo. Vijana wakawa wanakimbilia Dar kutafuta bahati yao. Sijui una umri gani lakini nakumbuka nikiwa mdogo nilivaa sana viatu vya bora, suruali zangu za pamba ya Tanzania zilikuwa za kushonesha, nyama za kusaga pamoja na juice zake tamu zilikuwa zinatoka Tanganyika parkers (made in Tanzania). Hizi zote zilikuwa ni ajira za watu ambao hawakuwa na ulazima wa kukimbilia Dar ili wapate kazi.
miaka 21..me naona hatua ya kwanza ni ofisi za serikali, ikulu n.k zote zitoke dar ziende kwengine, naona kabisa hawapapendi dodoma..basi waende kama mwanza, arusha au hata tanga..mkoa wowote ule..

pili, kampuni na zenyewe ambazo zinatumia rasilimali za mikoa mengine zilipe kodi kwa hiyo mikoa, si dar...maana sasa kampuni ya madini, ina ofisi kuu dar..kodi zinaenda kwa mkoa wa dar na si mkoa wa madini ambao inatakiwa..

dar imejaa sana, na inazidi kujaa..itafikia wakati inabidi uanze kuleta watu kwa vibali hahhaa.

alafu kama zembwela alivyosema kwenye kipindi cha uswazi..wabunge wakae makwao..fimbo ya mbali haui nyoka..we unaishi dar miaka yote wakati jimbo lako liko lindi..wapi na wapi hapo..

mimi kama mimi sipendi mfumo wa zamani wa ujamaa...mm nipo centre right sana..kwahiyo naona ni vyema tuliachana nao sema ubaya ni kwamba ufisadi umekithiri..si mfumo wenye matatizo, ni taasisi zetu.
__________________
Back to Black. :(
Rain Drops no está en línea   Reply With Quote
Old December 16th, 2012, 05:00 PM   #273
kiligoland
Registered User
 
kiligoland's Avatar
 
Join Date: Jan 2010
Location: Shanghai
Posts: 6,002
Likes (Received): 637

Uliza siku ya uhuru iliendaje huku getho mitaa ya kati , piga chabo kideo hiko lakini uwe mvumilivi hadi tangazo liishe, usikate tamaa ni sekunde kadhaa tu, halafu inafuata video

http://v.youku.com/v_show/id_XNDg5Mjc3OTIw.html
kiligoland no está en línea   Reply With Quote
Old December 17th, 2012, 03:02 PM   #274
Rain Drops
Tanzanian Rain
 
Rain Drops's Avatar
 
Join Date: Oct 2012
Location: I wouldn't mind living in Seychelles or Hawaii.
Posts: 3,099
Likes (Received): 704

Quote:
Originally Posted by kiligoland View Post
Uliza siku ya uhuru iliendaje huku getho mitaa ya kati , piga chabo kideo hiko lakini uwe mvumilivi hadi tangazo liishe, usikate tamaa ni sekunde kadhaa tu, halafu inafuata video

http://v.youku.com/v_show/id_XNDg5Mjc3OTIw.html
kuna watu wanavituko sana duniani hahah
__________________
Back to Black. :(
Rain Drops no está en línea   Reply With Quote
Old December 17th, 2012, 06:18 PM   #275
kiligoland
Registered User
 
kiligoland's Avatar
 
Join Date: Jan 2010
Location: Shanghai
Posts: 6,002
Likes (Received): 637

Quote:
Originally Posted by Rain Drops View Post
kuna watu wanavituko sana duniani hahah
kiligoland no está en línea   Reply With Quote
Old December 18th, 2012, 06:39 PM   #276
Rain Drops
Tanzanian Rain
 
Rain Drops's Avatar
 
Join Date: Oct 2012
Location: I wouldn't mind living in Seychelles or Hawaii.
Posts: 3,099
Likes (Received): 704

Ze comedy..

Hahaha, joti mjinga sana aisee hebu chekini hapa:

__________________
Back to Black. :(
Rain Drops no está en línea   Reply With Quote
Old December 19th, 2012, 09:42 AM   #277
kiligoland
Registered User
 
kiligoland's Avatar
 
Join Date: Jan 2010
Location: Shanghai
Posts: 6,002
Likes (Received): 637

kiligoland no está en línea   Reply With Quote
Old December 19th, 2012, 05:58 PM   #278
Rain Drops
Tanzanian Rain
 
Rain Drops's Avatar
 
Join Date: Oct 2012
Location: I wouldn't mind living in Seychelles or Hawaii.
Posts: 3,099
Likes (Received): 704

^ hii habari mliisoma wakuu? Sasa gazeti lote litakuwa linaandika nini? matangazo? http://issamichuzi.blogspot.co.uk/20...hishwa-na.html
__________________
Back to Black. :(
Rain Drops no está en línea   Reply With Quote
Old December 25th, 2012, 01:23 AM   #279
Geza Ulole
BANNED
 
Join Date: May 2010
Posts: 1,768
Likes (Received): 3

Heri ya Noeli na nawatakia fanaka tele katika kuanza mwaka mpya
Geza Ulole no está en línea   Reply With Quote
Old December 25th, 2012, 02:18 AM   #280
kiligoland
Registered User
 
kiligoland's Avatar
 
Join Date: Jan 2010
Location: Shanghai
Posts: 6,002
Likes (Received): 637

Quote:
Originally Posted by Geza Ulole View Post
Heri ya Noeli na nawatakia fanaka tele katika kuanza mwaka mpya
Asante mkuu, na mewe pia, mungu akubariki
kiligoland no está en línea   Reply With Quote


Reply

Thread Tools
Display Modes

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off



All times are GMT +2. The time now is 03:04 AM.


Powered by vBulletin® Version 3.8.7
Copyright ©2000 - 2013, vBulletin Solutions, Inc.
Feedback Buttons provided by Advanced Post Thanks / Like v3.1.2 (Pro) - vBulletin Mods & Addons Copyright © 2013 DragonByte Technologies Ltd.
vBulletin Optimisation provided by vB Optimise (Pro) - vBulletin Mods & Addons Copyright © 2013 DragonByte Technologies Ltd. (Resources saved on this page: MySQL 25.00%)

SkyscraperCity - In Urbanity We Trust

Hosted by Blacksun, dedicated to this site too!
Forum server management by DaiTengu